Monday, January 5, 2015

VIGOGO WA HISPANIA CHALIIII

Hatimaye vigogo wa hispania wmejikuta wakianza mwaka vibaya kwa kufungwa.ambapo real madrid amejikuta akichezea kichapo cha bao mbili kwa moja kutoka kwa valencia  nao barc wamejikuta wakipokea kichapo kutoka kwa realsoc huku ikiwa furaha kwa kocha mpya wa timu hiyo david moyess


Sunday, January 4, 2015

RAIS KIKWETE ATOA SALAAM ZA MWAKA MPYA

Rais wa jamhuri ya muungano ya tanzania mh jakaya mrisho kikwete leo tarehe 3jan ametoa salaam za mwaka mpya kwa wananchi wake wa tanzania.katika salaam hizo  rais ameandika "nawatakia nyote heri na mafanikio kwa mpya wa 2015". tutazame tunayo ifanyia nchi yetu kabla ya kutazama nchi yetu imetufanyia nini.

PANYA ROAD NOMAAA

miuungoni mwa story zilimeki head line jan 2 ni kuhusu kikundi cha watu maarufu kama (panya road)kilicho vamia maeneo na kupora  vitu vya thamani na kupiga watu.Staa wa kike wabongo fleva ray c  (rehema chalamila.kupitia instergram amethibitisha kuwepo kwa kikundi hicho  na kuandika SINA HAMU NA PANYA ROAD
NA HAO APO NDIYO WALOKAMATA NA JESHI LA POLISI

MANCHESTER CITY YAHUSISHWA NA USJILI WA NYOTA HUYUU

siku chache baada ya kuhusisha na mpango wa kumsajili msahmbuliaji  raia wa ivory cost wilfred bony ,mabingwa watetezi wa ligi kuu england wametajwa kuongoza mbio za kumsajili kiungo wa everton ross barkley na club hiyo imeandaa ofa ambayo inauhakika kwa mchezaji huyoooo