siku chache baada ya kuhusisha na mpango wa kumsajili msahmbuliaji raia wa ivory cost wilfred bony ,mabingwa watetezi wa ligi kuu england wametajwa kuongoza mbio za kumsajili kiungo wa everton ross barkley na club hiyo imeandaa ofa ambayo inauhakika kwa mchezaji huyoooo
No comments:
Post a Comment