Sunday, January 4, 2015

MANCHESTER CITY YAHUSISHWA NA USJILI WA NYOTA HUYUU

siku chache baada ya kuhusisha na mpango wa kumsajili msahmbuliaji  raia wa ivory cost wilfred bony ,mabingwa watetezi wa ligi kuu england wametajwa kuongoza mbio za kumsajili kiungo wa everton ross barkley na club hiyo imeandaa ofa ambayo inauhakika kwa mchezaji huyoooo

No comments:

Post a Comment