Hatimaye vigogo wa hispania wmejikuta wakianza mwaka vibaya kwa kufungwa.ambapo real madrid amejikuta akichezea kichapo cha bao mbili kwa moja kutoka kwa valencia nao barc wamejikuta wakipokea kichapo kutoka kwa realsoc huku ikiwa furaha kwa kocha mpya wa timu hiyo david moyess



No comments:
Post a Comment