Sunday, January 4, 2015

PANYA ROAD NOMAAA

miuungoni mwa story zilimeki head line jan 2 ni kuhusu kikundi cha watu maarufu kama (panya road)kilicho vamia maeneo na kupora  vitu vya thamani na kupiga watu.Staa wa kike wabongo fleva ray c  (rehema chalamila.kupitia instergram amethibitisha kuwepo kwa kikundi hicho  na kuandika SINA HAMU NA PANYA ROAD
NA HAO APO NDIYO WALOKAMATA NA JESHI LA POLISI

No comments:

Post a Comment