miuungoni mwa story zilimeki head line jan 2 ni kuhusu kikundi cha watu maarufu kama (panya road)kilicho vamia maeneo na kupora vitu vya thamani na kupiga watu.Staa wa kike wabongo fleva ray c (rehema chalamila.kupitia instergram amethibitisha kuwepo kwa kikundi hicho na kuandika SINA HAMU NA PANYA ROAD
NA HAO APO NDIYO WALOKAMATA NA JESHI LA POLISI
No comments:
Post a Comment