Sunday, July 19, 2015

Diamond alivyopokelewa Airport Dar baada ya kurudi na Tuzo ya MTV. By j.twice picha na Millard ayo


Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz July 18 2015 alitangazwa mshindi wa tuzo moja ya MTV MAMA 2015 Category ya Best Live Act ambapo baada ya kuichukua hajaichelewesha, karudi nyumbani Tanzania na haya ndio mapokezi yenyewe kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam.

Kabla hajatua uwanja wa ndege tayari kulikuwa na kundi kubwa la watu waliofurika wakiimba muda wote na kushangilia kwenye uwanja huo wa ndege wa Julius Nyerere International Airport kama hivi inavyoonekana kwenye picha.


No comments:

Post a Comment