Tuesday, July 14, 2015

 Iyanya kwenye headlines tena, karudi na hii video mpya: “Applaudise!” By j.twice


Msanii maarufu kutoka Nigeria Iyanya anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani. Baada ya kudondosha video ya Nakupenda alioshirikiana na Bongo Superstaa Diamond Platnumz leo hii amerudi na kichupa kipya.



Wimbo unaitwa  Applaudise na hapa nimekusogezea video yake. Bonyeza play kuitazama

No comments:

Post a Comment