Sunday, July 19, 2015

https://www.youtube.com/watch?v=Tl3paLVzvE0........malalamiko ya Jokate, anasema hii post Ya Diamond Platnumz imemdhalilisha, Video iko hapa. By j.twice



Baada ya kushinda tuzo ya Best Act kwenye tuzo za Mama [Mtv AFrika Music Awards] Msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz aliweka picha mbili kuwashukuru mashabiki wake na video moja ikimuonyesha aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Jokate akicheza na kufurahia wimbo wake.

Post hio imechukuliwa kama kumdhalilisha Jokate sababu ya Ukaribu wake na hasimu wa Diamond Platnumz ambaye ni Ali Kiba. Haya maneno ya Jokate baada ya video hiyo kuonekana mtandaoni.




No comments:

Post a Comment