Monday, June 29, 2015

AJALI Picha 4 za ajali ya gari waliyoipata Nizar Khalfan na Shaban Kado By j.twice

Ajali imetokea Bahi Dodoma na kwenye gari miongoni mwa waliokuwemo ni pamoja na golikipa Shaban Kado na mchezaji Nizar Khalfan wa Mwadui FC na chanzo ni tairi la nyuma kuchomoka.

Kwenye interview  Kado amesema hakuna yeyote aliyepoteza maisha isipokuwa majeraha waliyoyapata akiwemo Shaban Kado ambaye ameumia pia mkono wake wa kulia ambapo walikua watu wanne ndani ya gari.picha na Millard ayo


No comments:

Post a Comment