Cccc
hris Brown amewachana wanawake wanaotafuta wanaume wenye pesa na kuzaa nao ili wapate pesa zao. By j.twice
Msanii wa rnb Chris Brown amewachana wanawake wanaopenda kutafuta wanaume wenye pesa na kuzaa nao ili wapate pesa zao.
Chris akiwa kwenye jukwa kwenye show yake huko El Paso aliwa ‘Wanaume tafuteni pesa ila kuweni wajanja’ kauli iliyo tafsiriwa ‘Kama hutaki kutoa mapesa kwa wanawake uliozaa nao basi tulia’
Chris amekuwa akisumbuliwa na madai ya pesa za matumizi ya mtoto wake na mwanamitindo Nia Guzman aliyezaa naye mtoto mmoja, Nia anataka dola elfu kumi na tamo kila mwezi kwaajili ya mtoto [Zaidi ya milioni 30] pesa ambayo ni mara mbili ya aliyokuwa akipewa awali.

No comments:
Post a Comment