Ni miongoni mwa waimbaji wazuri wa kike Tanzania wenye mvuto kuanzia kwenye sauti zao na swagg zao ambapo kama damu yako inachembechembe nyingi za bongofleva, sauti yake utakua uliisikia kwenye hit single ya USWAZI TAKE AWAY aliyoshirikishwa na Chege.
No comments:
Post a Comment