Saturday, June 13, 2015

SOCIAL NETWORK Eti Snoop Dogg yuko serious kabisa kuwa Boss wa @Twitter??? onJune 12, 2015 Snoop Dogg Kwenye headlines kubwa za siku ya leo ipo hii moja inayomhusu Mkurugenzi wa Twitter, Dick Costolo kutangaza kujiuzulu kama mkurugenzi wa Kampuni hiyo kutokana na malalamiko kwamba inajiendesha kihasara. Headlines sasa hivi sio kuhusu Dick Costolo tena, ni Snoop Dogg.. Ishu unajua ni nini? Jamaa kasema eti yuko tayari kabisa kushika nafasi hiyo!! Dick Costolo Snoop Dog alichukua time na kuweka post kadhaa kwenye ukurasa wake @Twitter kwamba yuko tayari kabisa kuiongoza Kampuni hiyo ikiwa tu watampa nafasi. Trend kwenye Twitter ikawa hivi>>> ##ifSnoopWasTwitterCEO…

No comments:

Post a Comment